eBooks

3 Books found
Uchumi wa Viwanda na Uchumi wa Kitaifa

Authors: Ng’wanza Kamata

In Kutoka Kavazini

By OLS Admin

Kijitabu hiki kina nyaraka mbalimbali zikiwemo hotuba za Mwalimu Nyerere zinazojadili mafanikio na matatizo ya kujenga viwanda baada ya uhuru na baada ya Azimio la Arusha. Tuzisome kwa makini, tuzitafakari hoja mbali mbali zilizomo humu katika muktadha huu mpya wa nchi yetu na hali ya dunia ilivyo sasa.

  • Featured
Tukate Mirija ya Unyonyaji

Authors: Julius K. Nyerere

In Kutoka Kavazini

By OLS Admin

Hotuba hii ya Mwalimu, aliyoitoa nusu karne iliyopita, inatoa nafasi nyingine ya kutufikirisha na kutuongoza kila tutakapokuwa tunatafakari jinsi ya kuendeleza ukombozi wa wavujajasho kwa kutumia itikadi na nadharia ya kimapinduzi. Aidha, hotuba hii inatuelekeza jinsi ya kupanga mikakati ya kimapinduzi kwa sababu mapinduzi, hususan mapambano dhidi ya ubeberu na vibaraka wake, sio lelemama na hayaji kwa kulalama.

Mazungumzo na "Kingunge" wa Itikadi ya Ujamaa

Authors: Prof. Issa Shivji

In Kutoka Kavazini

By OLS Admin

Kitabu hiki kimebeba mazungumzo aliyofanya Profesa Issa Shivji na hayati Mzee Ngombale kwa wakati na madhumuni tofauti. Kutokana na umuhimu wake wa kipekee, Kavazi la Mwalimu Nyerere limeona ni sehemu ya jukumu lake kuchapisha na kuiwekea rekodi ya kudumu ya mchango wa mwanasiasa na mwanazuoni wetu mahiri, Mzee Kingunge Ngombale-Mwiru.