eBooks

4 Books found
  • Featured
Uanazuoni wa Mwalimu Nyerere

Authors: Bashiru Ally , Saida Yahya-Othman

In Occasional Papers

By OLS Admin

Katika kitabu hiki, waandishi wanamuelezea Mwalimu kama mwanafalsafa, mwanazuoni, mshairi na pia mmajumui wa Kiafrika. Kupitia kitabu hiki, ambacho kimeandikwa kwa lugha nyepesi ya Kiswahili, watafiti, wanazuoni na wasomaji kutoka makundi mbalimbali ya jamii yetu watapata nafasi ya kuelewa kwa undani misingi ya misimamo ya Mwalimu.

Azimio la Arusha: Majibu kwa Maswali

Authors: Julius K. Nyerere

In Occasional Papers

By OLS Admin

Katika kuitikia tangazo la Azimio la Arusha, wabunge waliwasilisha takriban maswali 21 kuhusiana na Azimio hilo ambayo yalijibiwa na Mwalimu Nyerere mwenyewe kama ilivyo katika kijitabu hiki. Madhumuni ya kuchapisha kijitabu hiki ni kuwakumbusha vijana wetu historia ya Azimio na kuibua mjadala kuhusu mazingira ya leo na somo gani tunaweza kujifunza.

Insha Tatu za Kifalsafa

Authors: Julius K. Nyerere

In Occasional Papers

By OLS Admin

Hazina kama hii ya mawazo, fikra na maandishi mahiri ya Mwalimu katika insha, yenye ladha ya kipekee ni nadra sana kupatikana kutoka kwa wanasiasa wa kisasa. Tuna imani kwamba mbali ya kufarijika, kizazi hiki na vizazi vijavyo vitakuwa warithi waaminifu, waadilifu na wabunifu wa lulu hii ya ufahamu na usomi.

Ghettoisation of Basic Research in Higher Education

Authors: Chachage Seithy L. Chachage

In Occasional Papers

By OLS Admin

Ten years ago on 9th July 2016, Tanzania and the world lost a scholar of great depth, an astute researcher, and above all, a committed intellectual. This booklet brings together three of Chachage Seithy L. Chachage’s papers that speak to a burning current question in higher education - that of basic research.